Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “Ona kwamba nimewapa wana wa Lawi kila sehemu ya kumi+ katika Israeli iwe urithi wao kwa sababu ya utumishi wao, utumishi wa hema la mkutano.

  • Kumbukumbu la Torati 14:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Na msimpuuze Mlawi yeyote aliye ndani ya majiji yenu,+ kwa sababu hana fungu wala urithi pamoja nanyi.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Isitoshe, aliwaamuru watu walioishi Yerusalemu watoe fungu ambalo makuhani na Walawi walistahili kupokea,+ ili waishike kabisa* sheria ya Yehova.

  • Nehemia 10:38, 39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Na kuhani, mwana wa Haruni, anapaswa kuwa pamoja na Walawi wanapokusanya sehemu ya kumi; Walawi nao wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya ile sehemu ya kumi katika nyumba ya Mungu wetu,+ kwenye vyumba vya* ghala. 39 Kwa maana Waisraeli na Walawi wanapaswa kuleta mchango+ wa nafaka, divai mpya, na mafuta+ kwenye maghala,* ambamo mna vyombo vya mahali patakatifu, na pia walinzi wa malango, waimbaji, na makuhani wanaohudumu. Hatutaipuuza nyumba ya Mungu wetu.+

  • Malaki 3:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 “Je, mwanadamu anaweza kumwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia.”

      Nanyi mnauliza: “Tumekuibia jinsi gani?”

      “Katika sehemu za kumi na michango.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki