- 
	                        
            
            Nehemia 10:38, 39Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
38 Na kuhani, mwana wa Haruni, anapaswa kuwa pamoja na Walawi wanapokusanya sehemu ya kumi; Walawi nao wanapaswa kuleta sehemu ya kumi ya ile sehemu ya kumi katika nyumba ya Mungu wetu,+ kwenye vyumba vya* ghala. 39 Kwa maana Waisraeli na Walawi wanapaswa kuleta mchango+ wa nafaka, divai mpya, na mafuta+ kwenye maghala,* ambamo mna vyombo vya mahali patakatifu, na pia walinzi wa malango, waimbaji, na makuhani wanaohudumu. Hatutaipuuza nyumba ya Mungu wetu.+
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Malaki 3:8Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
8 “Je, mwanadamu anaweza kumwibia Mungu? Lakini ninyi mnaniibia.”
Nanyi mnauliza: “Tumekuibia jinsi gani?”
“Katika sehemu za kumi na michango.
 
 -