-
Nehemia 13:10, 11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
10 Pia, nikagundua kwamba Walawi+ hawakuwa wakipewa mafungu yao,+ hivyo Walawi na waimbaji waliofanya kazi walikuwa wameondoka, kila mmoja akaenda kwenye shamba lake.+ 11 Basi nikawakemea watawala wasaidizi+ na kuwauliza: “Kwa nini nyumba ya Mungu wa kweli imepuuzwa?”+ Kwa hiyo nikawakusanya na kuwarudisha kwenye kazi zao.
-