26 “Na wewe utasema na Walawi, nawe utawaambia, ‘Mtapokea kutoka kwa wana wa Israeli sehemu ya kumi ambayo nimewapa ninyi kutoka kwao kwa ajili ya urithi wenu,+ nanyi mtatoa mchango wenu kutoka katika hiyo uwe mchango kwa Yehova wa sehemu ya kumi ya hiyo sehemu ya kumi.+