Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapaswa kuleta katika nyumba yangu mimi, Yehova Mungu wako, mazao bora ya kwanza yaliyokomaa* ya ardhi yako.+

      “Usimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mafuta yote bora na divai yote mpya na nafaka, mazao yao ya kwanza,+ ambayo wanampa Yehova, ninakupa wewe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Isitoshe, aliwaamuru watu walioishi Yerusalemu watoe fungu ambalo makuhani na Walawi walistahili kupokea,+ ili waishike kabisa* sheria ya Yehova.

  • Nehemia 12:44
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 44 Siku hiyo wanaume waliwekwa ili kusimamia maghala+ ya michango,+ mazao ya kwanza,+ na sehemu za kumi.+ Kutoka katika mashamba ya majiji walipaswa kukusanya kwenye maghala hayo mafungu yaliyoamriwa na Sheria+ kwa ajili ya makuhani na Walawi,+ kwa maana kulikuwa na shangwe huko Yuda kwa sababu ya makuhani na Walawi waliokuwa wakihudumu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki