18 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Mtakapoingia katika nchi ninayowapeleka 19 nanyi mle chakula chochote cha* nchi hiyo,+ mnapaswa kumtolea Yehova kiasi fulani kama mchango.
2 mtachukua baadhi ya mavuno ya kwanza ya mazao* yote ya ardhi, mtakayokusanya katika nchi yenu ambayo Yehova Mungu wenu anawapa, na kuyatia katika kikapu na kwenda mahali ambapo Yehova Mungu wenu atachagua jina lake likae hapo.+