21 “Msimle mnyama yeyote aliyepatikana amekufa.+ Mnaweza kumpa mkaaji mgeni aliye ndani ya majiji yenu, naye anaweza kumla, au mnyama huyo anaweza kuuzwa kwa mgeni. Kwa maana ninyi ni watu watakatifu kwa Yehova Mungu wenu.
“Msimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+