Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 23:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 “Unapaswa kuleta katika nyumba yangu mimi, Yehova Mungu wako, mazao bora ya kwanza yaliyokomaa* ya ardhi yako.+

      “Usimchemshe mwanambuzi katika maziwa ya mama yake.+

  • Mambo ya Walawi 23:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 “Waambie hivi Waisraeli: ‘Hatimaye mtakapoingia katika nchi ninayowapa na kuvuna mazao yake, ni lazima mumletee kuhani tita la mavuno yenu ya kwanza.+

  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mafuta yote bora na divai yote mpya na nafaka, mazao yao ya kwanza,+ ambayo wanampa Yehova, ninakupa wewe.+

  • 2 Mambo ya Nyakati 6:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Lakini nimechagua Yerusalemu+ ili jina langu likae humo, nami nimemchagua Daudi awatawale watu wangu Waisraeli.’+

  • 2 Mambo ya Nyakati 31:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Mara tu agizo hilo lilipotolewa, Waisraeli walitoa kwa wingi mazao ya kwanza ya nafaka, divai mpya, mafuta,+ na asali, na mazao yote ya shambani;+ walileta kwa wingi sehemu ya kumi ya kila kitu.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

      Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki