Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 18:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+

  • Hesabu 18:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Mafuta yote bora na divai yote mpya na nafaka, mazao yao ya kwanza,+ ambayo wanampa Yehova, ninakupa wewe.+

  • Methali 3:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Mheshimu Yehova kwa vitu vyako vyenye thamani,+

      Kwa mavuno ya kwanza ya* mazao* yako yote;+

  • Ezekieli 44:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Matunda yote ya kwanza yaliyo bora na kila aina ya mchango mtakaotoa utakuwa wa makuhani.+ Nanyi mnapaswa kumpatia kuhani mavuno ya kwanza ya unga wenu ambao haujakobolewa.+ Hilo litafanya baraka ikae juu ya nyumba zenu.+

  • 1 Wakorintho 15:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sasa Kristo amefufuliwa kutoka kwa wafu, akiwa matunda ya kwanza ya wale ambao wamelala usingizi katika kifo.+

  • 1 Wakorintho 15:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Lakini kila mmoja kwa mpangilio wake unaofaa: Kristo aliye matunda ya kwanza,+ baadaye wale walio wa Kristo wakati wa kuwapo kwake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki