-
Kumbukumbu la Torati 18:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
3 “Sasa hii ndiyo haki ambayo makuhani wanastahili kutoka kwa watu: Mtu yeyote anayetoa dhabihu, iwe ni ng’ombe dume au kondoo anapaswa kumpa kuhani mguu wa mbele, mataya, na tumbo.
-