Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 22:4-6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Mzao yeyote wa Haruni mwenye ukoma+ au anayetokwa na umajimaji+ asile vitu vitakatifu mpaka atakapokuwa safi,+ wala mtu anayemgusa mtu yeyote aliyejichafua kwa kugusa mtu aliyekufa,*+ wala mtu anayetokwa na shahawa,+ 5 wala mtu anayemgusa kiumbe asiye safi anayeishi kwenye makundi makubwa+ wala mtu anayemgusa mtu asiye safi kwa sababu yoyote ile ambaye anaweza kumchafua.+ 6 Mtu anayegusa kitu chochote kati ya vitu hivyo hatakuwa safi mpaka jioni, naye hapaswi kula kitu chochote kitakatifu, badala yake anapaswa kuoga kwenye maji.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki