21 Yule aliyenunua shamba hilo akiliacha wakati wa Mwadhimisho wa Miaka 50, litakuwa kitu kitakatifu kwa Yehova, shamba lililotolewa kwa ajili yake. Litakuwa mali ya makuhani.+
28 “‘Lakini kitu chochote ambacho mtu anamtolea Yehova bila masharti,* iwe ni mwanadamu au mnyama au shamba lake, hakiwezi kuuzwa au kununuliwa tena. Kitu chochote kilichowekwa wakfu ni kitakatifu kabisa kwa Yehova.+