Hesabu 18:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+ Hesabu 18:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Kila kitu kilichotolewa kwa ajili yangu* katika Israeli kinapaswa kuwa chako.+
8 Yehova akaendelea kumwambia Haruni: “Mimi mwenyewe nilikuweka usimamie michango ninayoletewa.+ Nimekupa wewe na wanao sehemu ya vitu vyote vitakatifu vinavyotolewa kama mchango na Waisraeli ili viwe posho yenu ya kudumu.+