33 Hivyo Musa akawapa—wana wa Gadi, wana wa Rubeni,+ na nusu ya kabila la Manase+ mwana wa Yosefu—ufalme wa Sihoni+ mfalme wa Waamori na ufalme wa Ogu+ mfalme wa Bashani, maeneo hayo na majiji yaliyokuwemo na pia majiji jirani.
22 “Uliwapa falme na mataifa, ukawagawia kipande kwa kipande,+ nao wakamiliki nchi ya Sihoni,+ yaani, nchi ya mfalme wa Heshboni,+ na pia nchi ya Ogu+ mfalme wa Bashani.