33 Halafu wakageuka na kupanda kupitia njia ya Bashani. Ndipo Ogu+ mfalme wa Bashani akatoka pamoja na watu wake wote ili kupigana vita nao huko Edrei.+
35 Basi wakaendelea kumshambulia pamoja na wanawe na watu wake wote hivi kwamba hakuna mtu yeyote kati ya watu wake aliyeokoka,+ nao wakaichukua nchi yake.+