Hesabu 32:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ walikuwa na mifugo mingi sana, wakaona kwamba eneo la Yazeri+ na eneo la Gileadi yalikuwa maeneo mazuri kwa mifugo. 1 Mambo ya Nyakati 6:77 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 77 Wamerari waliobaki walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake; 1 Mambo ya Nyakati 6:81 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 81 Heshboni+ na malisho yake, na Yazeri+ na malisho yake.
32 Sasa wana wa Rubeni+ na wana wa Gadi+ walikuwa na mifugo mingi sana, wakaona kwamba eneo la Yazeri+ na eneo la Gileadi yalikuwa maeneo mazuri kwa mifugo.
77 Wamerari waliobaki walipewa kutoka katika kabila la Zabuloni,+ Rimono na malisho yake, Tabori na malisho yake;