Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yoshua 21:34-39
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 34 Na koo za Wamerari,+ yaani, Walawi waliobaki, walipewa Yokneamu+ na malisho yake, Karta na malisho yake, katika eneo la kabila la Zabuloni,+ 35 Dimna na malisho yake, na Nahalali+ na malisho yake—majiji manne.

      36 Na katika eneo la kabila la Rubeni: Beseri+ na malisho yake, Yahazi na malisho yake,+ 37 Kedemothi na malisho yake, na Mefaathi na malisho yake—majiji manne.

      38 Na katika eneo la kabila la Gadi:+ jiji la makimbilio kwa ajili ya muuaji, yaani, jiji la Ramothi kule Gileadi+ na malisho yake, Mahanaimu+ na malisho yake, 39 Heshboni+ na malisho yake, Yazeri+ na malisho yake—jumla ya majiji manne.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki