Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 31:7, 8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Walipigana na Wamidiani, kama Yehova alivyomwamuru Musa, wakawaua wanaume wote. 8 Miongoni mwa watu waliouawa kulikuwepo wafalme watano wa Midiani, yaani, Evi, Rekemu, Suri, Huru, na Reba. Pia, walimuua kwa upanga Balaamu+ mwana wa Beori.

  • Yoshua 13:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Ndipo Musa akawapa urithi watu wa kabila la Rubeni kulingana na koo zao,

  • Yoshua 13:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 majiji yote kwenye uwanda wa juu, na eneo lote la Mfalme Sihoni wa Waamori, aliyetawala Heshboni.+ Musa alimshinda yeye+ pamoja na wakuu wa Midiani, yaani, Evi, Rekemu, Suri, Huru, na Reba,+ watawala vibaraka* wa Sihoni waliokaa nchini humo.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki