-
2 Petro 2:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+ 16 lakini akakaripiwa kwa sababu hakufanya yaliyo sawa.+ Mnyama wa kubeba mizigo asiye na sauti alizungumza kwa sauti ya mwanadamu na kuzuia mwendo wa kiwazimu wa nabii huyo.+
-