Kutoka 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+ Kumbukumbu la Torati 10:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 “Kisha Waisraeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani na kwenda Mosera. Haruni akafa na kuzikwa huko,+ na Eleazari mwana wake akaanza kutumikia akiwa kuhani baada yake.+
25 Eleazari,+ mwana wa Haruni, alimwoa mmoja wa mabinti wa Putieli. Akamzalia mwana aliyeitwa Finehasi.+ Hao ndio viongozi wa koo* za Walawi, kulingana na koo zao.+
6 “Kisha Waisraeli wakaondoka Beerothi Bene-yaakani na kwenda Mosera. Haruni akafa na kuzikwa huko,+ na Eleazari mwana wake akaanza kutumikia akiwa kuhani baada yake.+