38 Balaamu akamjibu hivi Balaki: “Sasa nimekuja kwako. Lakini, je, nitaruhusiwa kusema jambo lolote? Ninaweza kusema tu maneno ambayo Mungu anatia kinywani mwangu.”+
13 ‘Hata Balaki akinipa nyumba yake mwenyewe iliyojaa fedha na dhahabu, siwezi kwa hiari yangu* kukiuka jambo lolote ambalo Yehova ameniagiza nifanye, liwe jambo zuri au baya. Nitasema tu jambo ambalo Yehova ataniambia’?+