Hesabu 22:38 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Basi Balaamu akamwambia Balaki: “Tazama, nimekuja kwako sasa. Je, nitaweza kusema jambo fulani?+ Neno ambalo Mungu atatia kinywani mwangu ndilo nitakalosema.”+
38 Basi Balaamu akamwambia Balaki: “Tazama, nimekuja kwako sasa. Je, nitaweza kusema jambo fulani?+ Neno ambalo Mungu atatia kinywani mwangu ndilo nitakalosema.”+