Hesabu 22:41 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Asubuhi Balaki akamchukua Balaamu na kwenda naye Bamoth-baali; akiwa huko aliweza kuwaona Waisraeli wote.+ Hesabu 23:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Jenga madhabahu saba mahali hapa,+ nawe unitayarishie ng’ombe dume saba na kondoo dume saba.” Hesabu 23:28, 29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Basi Balaki akampeleka Balaamu juu ya Mlima Peori, unaoelekeana na Yeshimoni.*+ 29 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Jenga madhabahu saba mahali hapa, nawe unitayarishie ng’ombe dume saba na kondoo dume saba.”+
41 Asubuhi Balaki akamchukua Balaamu na kwenda naye Bamoth-baali; akiwa huko aliweza kuwaona Waisraeli wote.+
23 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Jenga madhabahu saba mahali hapa,+ nawe unitayarishie ng’ombe dume saba na kondoo dume saba.”
28 Basi Balaki akampeleka Balaamu juu ya Mlima Peori, unaoelekeana na Yeshimoni.*+ 29 Kisha Balaamu akamwambia Balaki: “Jenga madhabahu saba mahali hapa, nawe unitayarishie ng’ombe dume saba na kondoo dume saba.”+