Hesabu 3:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu. Hesabu 20:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Mvue Haruni mavazi yake+ umvishe Eleazari+ mwanawe, kisha Haruni atafia huko.”*
32 Kiongozi wa wakuu wa Walawi alikuwa Eleazari+ mwana wa kuhani Haruni, naye aliwasimamia wale waliokuwa na majukumu ya kufanya kazi mahali patakatifu.