Hesabu 23:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+
7 Kisha akasema maneno haya ya kishairi:+ “Balaki mfalme wa Moabu amenileta kutoka Aramu,+Kutoka katika milima ya mashariki: ‘Njoo umlaani Yakobo kwa niaba yangu. Naam, njoo uwashutumu Waisraeli.’+