Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 10:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Wana wa Shemu walikuwa Elamu,+ Asihuru,+ Arpakshadi,+ Ludi, na Aramu.+

  • Hesabu 22:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Aliwatuma wajumbe kwa Balaamu mwana wa Beori huko Pethori,+ karibu na Mto Efrati katika nchi yake. Alimwambia hivi: “Sasa, kuna watu ambao wametoka Misri. Wamejaa kila mahali duniani,*+ na wanakaa papa hapa karibu nami.

  • Kumbukumbu la Torati 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Hakuna Mwamoni au Mmoabu anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi, hakuna mzao wao yeyote anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova, 4 kwa sababu hawakuwasaidia kwa kuwapa chakula na maji mlipokuwa njiani kutoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori kule Mesopotamia ili awalaani ninyi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki