Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 23:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 “Hakuna Mwamoni au Mmoabu anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova.+ Hata kufikia kizazi cha kumi, hakuna mzao wao yeyote anayepaswa kuja katika kutaniko la Yehova, 4 kwa sababu hawakuwasaidia kwa kuwapa chakula na maji mlipokuwa njiani kutoka Misri,+ na kwa sababu walimkodi Balaamu mwana wa Beori kutoka Pethori kule Mesopotamia ili awalaani ninyi.+

  • Yoshua 13:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Waisraeli walimuua kwa upanga Balaamu+ mwana wa Beori, yule mbashiri,*+ pamoja na watu wengine.

  • 2 Petro 2:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Wameiacha njia iliyonyooka, wamepotoshwa. Wameifuata njia ya Balaamu+ mwana wa Beori, aliyependa thawabu ya kutenda makosa,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki