Hesabu 16:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote. Hesabu 16:35 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 35 Kisha moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na kuwateketeza wale wanaume 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.+ Zaburi 106:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Moto uliwaka katika kundi lao;Mwali wa moto ukawateketeza kabisa waovu.+
32 Naam, dunia ikafunguka* na kuwameza watu hao pamoja na familia zao na watu wote wa Kora+ na mali zao zote.
35 Kisha moto ukashuka kutoka kwa Yehova+ na kuwateketeza wale wanaume 250 waliokuwa wakifukiza uvumba.+