Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kisha Lea akasema: “Mungu amenipa mshahara wangu* kwa sababu nimempa mume wangu kijakazi wangu.” Kwa hiyo akampa jina Isakari.*+

  • Mwanzo 35:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Wana wa Lea walikuwa Rubeni,+ mzaliwa wa kwanza wa Yakobo, kisha Simeoni, Lawi, Yuda, Isakari, na Zabuloni.

  • Mwanzo 46:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Wana wa Isakari walikuwa Tola, Puva, Iobu, na Shimroni.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 7:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Sasa wana wa Isakari walikuwa Tola, Pua, Yashubu, na Shimroni+—wana wanne.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki