Nehemia 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Lakini mkinirudia na kuzishika amri zangu na kuzitii, hata ingawa mtakuwa mmetawanyika mpaka kwenye mwisho wa mbingu, nitawakusanya+ na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+ Matendo 3:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*
9 Lakini mkinirudia na kuzishika amri zangu na kuzitii, hata ingawa mtakuwa mmetawanyika mpaka kwenye mwisho wa mbingu, nitawakusanya+ na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+
19 “Kwa hiyo, tubuni+ na mgeuke+ ili dhambi zenu zifutwe,+ ili majira yenye kuburudisha yaje kutoka kwa Yehova mwenyewe,*