Kutoka 7:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Musa alikuwa na umri wa miaka 80 naye Haruni alikuwa na umri wa miaka 83 walipozungumza na Farao.+ Kumbukumbu la Torati 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Musa alikuwa na umri wa miaka 120 alipokufa.+ Macho yake hayakuwa yamedhoofika, na nguvu zake hazikuwa zimeisha. Matendo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sasa alipokuwa na umri wa miaka 40, wazo likaingia moyoni mwake* awatembelee * ndugu zake, wana wa Israeli.+
7 Musa alikuwa na umri wa miaka 120 alipokufa.+ Macho yake hayakuwa yamedhoofika, na nguvu zake hazikuwa zimeisha.
23 “Sasa alipokuwa na umri wa miaka 40, wazo likaingia moyoni mwake* awatembelee * ndugu zake, wana wa Israeli.+