Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 31:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Ndipo Musa akatoka na kuwaambia Waisraeli wote maneno haya: 2 “Leo nina umri wa miaka 120.+ Siwezi tena kuwaongoza,* kwa sababu Yehova ameniambia, ‘Hutavuka mto huu wa Yordani.’+

  • Matendo 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Sasa alipokuwa na umri wa miaka 40, wazo likaingia moyoni mwake* awatembelee * ndugu zake, wana wa Israeli.+

  • Matendo 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 “Baada ya miaka 40, malaika akamtokea kwenye nyika ya Mlima Sinai katika mwali wa moto wa kichaka cha miiba kilichokuwa kikiwaka.+

  • Matendo 7:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Yeye ndiye aliyewaongoza watoke huko,+ akifanya mambo ya ajabu* na ishara huko Misri+ na kwenye Bahari Nyekundu+ na nyikani kwa miaka 40.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki