Kumbukumbu la Torati 31:1, 2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Ndipo Musa akatoka na kuwaambia Waisraeli wote maneno haya: 2 “Leo nina umri wa miaka 120.+ Siwezi tena kuwaongoza,* kwa sababu Yehova ameniambia, ‘Hutavuka mto huu wa Yordani.’+ Matendo 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sasa alipokuwa na umri wa miaka 40, wazo likaingia moyoni mwake* awatembelee * ndugu zake, wana wa Israeli.+ Matendo 7:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 “Baada ya miaka 40, malaika akamtokea kwenye nyika ya Mlima Sinai katika mwali wa moto wa kichaka cha miiba kilichokuwa kikiwaka.+ Matendo 7:36 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 36 Yeye ndiye aliyewaongoza watoke huko,+ akifanya mambo ya ajabu* na ishara huko Misri+ na kwenye Bahari Nyekundu+ na nyikani kwa miaka 40.+
31 Ndipo Musa akatoka na kuwaambia Waisraeli wote maneno haya: 2 “Leo nina umri wa miaka 120.+ Siwezi tena kuwaongoza,* kwa sababu Yehova ameniambia, ‘Hutavuka mto huu wa Yordani.’+
23 “Sasa alipokuwa na umri wa miaka 40, wazo likaingia moyoni mwake* awatembelee * ndugu zake, wana wa Israeli.+
30 “Baada ya miaka 40, malaika akamtokea kwenye nyika ya Mlima Sinai katika mwali wa moto wa kichaka cha miiba kilichokuwa kikiwaka.+
36 Yeye ndiye aliyewaongoza watoke huko,+ akifanya mambo ya ajabu* na ishara huko Misri+ na kwenye Bahari Nyekundu+ na nyikani kwa miaka 40.+