Kutoka 13:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+ Zaburi 44:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,Mababu zetu wametusimulia,+Mambo uliyotimiza katika siku zao,Siku za zamani za kale.
14 “Mwanao akikuuliza baadaye, ‘Jambo hili linamaanisha nini?’ basi unapaswa kumwambia, ‘Kwa mkono wenye nguvu Yehova alitutoa Misri, kutoka katika nyumba ya utumwa.+
44 Ee Mungu, tumesikia kwa masikio yetu wenyewe,Mababu zetu wametusimulia,+Mambo uliyotimiza katika siku zao,Siku za zamani za kale.