19 hata wakati huo, kwa rehema zako nyingi, hukuwaacha nyikani.+ Nguzo ya wingu iliyowaongoza njiani mchana haikuondoka juu yao, wala nguzo ya moto iliyowaangazia njia usiku.+ 20 Nawe ukawapa roho yako njema ili iwape ufahamu,+ hukuwanyima mana vinywani mwao,+ na walipohisi kiu ukawapa maji.+