38 Katika hatua zote za safari yao, Waisraeli wote waliona wingu la Yehova likiwa juu ya hema la ibada wakati wa mchana, na moto ukiwa juu yake wakati wa usiku.+
15 Siku ambayo hema la ibada lilijengwa,+ wingu lilifunika hema la ibada, yaani, hema la Ushahidi, lakini wakati wa jioni kitu kilichoonekana kama moto kilikaa juu ya hema hilo mpaka asubuhi.+