Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na mahali pa juu palipokuwa mbele ya Yerusalemu upande wa kusini* wa Mlima wa Uharibifu,* mahali ambapo Sulemani mfalme wa Israeli alijenga kwa ajili ya Ashtorethi mungu wa kike mwenye kuchukiza wa Wasidoni; kwa ajili ya Kemoshi mungu mwenye kuchukiza wa Moabu; na kwa ajili ya Milkomu+ mungu mwenye kuchukiza wa Waamoni,+ mfalme alipafanya pasifae kwa ibada.

  • Ezekieli 8:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Akaniambia: “Mwana wa binadamu, je, unaona hili? Je, ni jambo dogo sana kwa watu wa nyumba ya Yuda kufanya mambo haya yanayochukiza, kuijaza nchi ukatili+ na kuendelea kunikasirisha? Tazama, wanaidunga pua yangu kwa lile tawi.*

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki