Waamuzi 2:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+ Zaburi 78:59 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 59 Mungu alisikia na kuwaka hasira,+Kwa hiyo akaikataa kabisa Israeli.
14 Ndipo hasira ya Yehova ikawaka dhidi ya Waisraeli, akawatia mikononi mwa waporaji, nao wakapora mali zao.+ Akawatia* mikononi mwa maadui waliowazunguka+ wala hawakuweza tena kuwashinda maadui wao.+