11 Mpaka huo utaanzia Shefamu hadi Ribla, upande wa mashariki wa Aini, nao utashuka na kuvuka mteremko wa mashariki wa Bahari ya Kinerethi.+ 12 Kisha utaendelea mpaka Yordani na kuishia kwenye Bahari ya Chumvi.+ Hiyo ndiyo itakayokuwa nchi yenu+ na mipaka inayoizunguka.’”