Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 3:16, 17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Na watu wa kabila la Rubeni na kabila la Gadi+ nimewapa kuanzia Gileadi mpaka kwenye Bonde* la Arnoni, katikati ya bonde ulikuwa ndio mpaka, hadi Bonde la Yaboki, ambalo ni mpaka wa Waamoni, 17 na Araba na Yordani na ule mpaka, kuanzia Kinerethi hadi Bahari ya Araba, Bahari ya Chumvi, chini ya mteremko wa Pisga kuelekea upande wa mashariki.+

  • Yoshua 11:1, 2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Mara tu Yabini mfalme wa Hasori aliposikia habari hizo, akatuma ujumbe kwa Yobabu mfalme wa Madoni,+ na kwa mfalme wa Shimroni, na mfalme wa Akshafi,+ 2 wafalme wa eneo la kaskazini lenye milima, wa maeneo tambarare* upande wa kusini wa Kinerethi, wale waliokuwa Shefela na kwenye miteremko ya Dori+ upande wa magharibi,

  • Luka 5:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Pindi moja, Yesu alikuwa amesimama kando ya ziwa la Genesareti*+ na umati ulikuwa umemsonga ili kusikiliza neno la Mungu.

  • Yohana 6:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Baada ya hapo Yesu akavuka Bahari ya Galilaya, au Tiberia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki