Mathayo 4:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili, Simoni, anayeitwa Petro,+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu baharini, kwa maana walikuwa wavuvi.+ Marko 1:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea ndugu yake+ wakishusha nyavu zao baharini,+ kwa maana walikuwa wavuvi.+
18 Alipokuwa akitembea kando ya bahari ya Galilaya aliwaona ndugu wawili, Simoni, anayeitwa Petro,+ na Andrea ndugu yake, wakishusha wavu baharini, kwa maana walikuwa wavuvi.+
16 Alipokuwa akitembea kando ya Bahari ya Galilaya alimwona Simoni na Andrea ndugu yake+ wakishusha nyavu zao baharini,+ kwa maana walikuwa wavuvi.+