22 Basi Musa akaandika wimbo huu siku hiyo na kuwafundisha Waisraeli kuuimba.
23 Kisha akamweka Yoshua+ mwana wa Nuni kuwa kiongozi na kusema: “Uwe jasiri na imara,+ kwa sababu ni wewe utakayewaingiza Waisraeli katika nchi ambayo nimewaapia,+ nami nitaendelea kuwa pamoja nawe.”