-
Hesabu 20:12, 13Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Baadaye Yehova akamwambia hivi Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha kwamba mna imani kwangu na kunitakasa mbele ya Waisraeli, hamtawaingiza watu hawa katika nchi ambayo nitawapa.”+ 13 Hayo ndiyo maji ya Meriba,*+ mahali ambapo Waisraeli waligombana na Yehova, naye akawathibitishia kwamba yeye ni mtakatifu.
-