-
Hesabu 27:12-14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
12 Kisha Yehova akamwambia Musa: “Panda mlima huu wa Abarimu,+ uione nchi nitakayowapa Waisraeli.+ 13 Baada ya kuiona, utakufa pia na kuzikwa pamoja na watu wako,*+ kama Haruni ndugu yako alivyozikwa,+ 14 kwa sababu Waisraeli walipokuwa wakigombana nami katika nyika ya Zini, mliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao nilipowapa maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+
-