Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 20:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Baadaye Yehova akamwambia hivi Musa na Haruni: “Kwa sababu hamkuonyesha kwamba mna imani kwangu na kunitakasa mbele ya Waisraeli, hamtawaingiza watu hawa katika nchi ambayo nitawapa.”+

  • Hesabu 27:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baada ya kuiona, utakufa pia na kuzikwa pamoja na watu wako,*+ kama Haruni ndugu yako alivyozikwa,+ 14 kwa sababu Waisraeli walipokuwa wakigombana nami katika nyika ya Zini, mliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao nilipowapa maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+

  • Kumbukumbu la Torati 3:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Lakini bado Yehova alikuwa amenikasirikia vikali kwa sababu yenu,+ naye hakutaka kunisikiliza. Badala yake Yehova aliniambia, ‘Imetosha! Usizungumze nami tena kamwe kuhusu jambo hili.

  • Zaburi 106:32
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 32 Walimkasirisha kwenye maji ya Meriba,*

      Na mambo yakamwendea Musa vibaya kwa sababu yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki