- 
	                        
            
            Hesabu 27:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Baada ya kuiona, utakufa pia na kuzikwa pamoja na watu wako,*+ kama Haruni ndugu yako alivyozikwa,+ 14 kwa sababu Waisraeli walipokuwa wakigombana nami katika nyika ya Zini, mliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao nilipowapa maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+
 
 -