Hesabu 31:2 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 “Walipize kisasi+ Wamidiani+ kwa sababu ya mambo waliyowatendea Waisraeli. Baadaye utakufa na kuzikwa pamoja na watu wako.”*+ Kumbukumbu la Torati 34:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Musa alikuwa na umri wa miaka 120 alipokufa.+ Macho yake hayakuwa yamedhoofika, na nguvu zake hazikuwa zimeisha.
2 “Walipize kisasi+ Wamidiani+ kwa sababu ya mambo waliyowatendea Waisraeli. Baadaye utakufa na kuzikwa pamoja na watu wako.”*+
7 Musa alikuwa na umri wa miaka 120 alipokufa.+ Macho yake hayakuwa yamedhoofika, na nguvu zake hazikuwa zimeisha.