Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Hesabu 27:13, 14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Baada ya kuiona, utakufa pia na kuzikwa pamoja na watu wako,*+ kama Haruni ndugu yako alivyozikwa,+ 14 kwa sababu Waisraeli walipokuwa wakigombana nami katika nyika ya Zini, mliasi agizo langu la kunitakasa mbele yao nilipowapa maji.+ Hayo ndiyo maji ya Meriba+ huko Kadeshi+ katika nyika ya Zini.”+

  • Kumbukumbu la Torati 3:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Panda juu ya kilele cha Pisga,+ utazame magharibi na kaskazini na kusini na mashariki, uone nchi hiyo kwa macho yako, kwa maana hutavuka mto huu wa Yordani.+

  • Kumbukumbu la Torati 34:4, 5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kisha Yehova akamwambia hivi: “Hii ndiyo nchi ambayo nilimwapia Abrahamu, Isaka, na Yakobo, niliposema, ‘Nitaupa uzao wako* nchi hii.’+ Nimekuruhusu uione kwa macho yako mwenyewe, lakini hutavuka kuingia humo.”+

      5 Kisha Musa mtumishi wa Yehova akafa huko katika nchi ya Moabu kama Yehova alivyosema.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki