Hesabu 11:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Ndipo Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mtumishi wa Musa tangu ujanani, akasema: “Bwana wangu Musa, wakataze!”+ Hesabu 14:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+ Hesabu 27:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+
28 Ndipo Yoshua+ mwana wa Nuni, aliyekuwa mtumishi wa Musa tangu ujanani, akasema: “Bwana wangu Musa, wakataze!”+
30 Hakuna hata mmoja wenu atakayeingia katika nchi niliyoapa kwamba mtaishi ndani yake,+ isipokuwa Kalebu mwana wa Yefune na Yoshua mwana wa Nuni.+
18 Kwa hiyo Yehova akamwambia Musa: “Mchukue Yoshua mwana wa Nuni, mwanamume aliye na roho,* na uweke mikono yako juu yake.+