Malaki 2:4, 5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Ndipo mtakapojua kwamba nimewapa amri hii ili agano langu pamoja na Lawi liendelee,”+ asema Yehova wa majeshi. 5 “Agano langu pamoja naye lilikuwa la uzima na amani, ambalo nilimpa, pamoja na hofu.* Aliniogopa, naam, aliliheshimu jina langu.
4 Ndipo mtakapojua kwamba nimewapa amri hii ili agano langu pamoja na Lawi liendelee,”+ asema Yehova wa majeshi. 5 “Agano langu pamoja naye lilikuwa la uzima na amani, ambalo nilimpa, pamoja na hofu.* Aliniogopa, naam, aliliheshimu jina langu.