-
Ezekieli 44:15, 16Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
15 “‘Nao makuhani Walawi, wana wa Sadoki,+ walioshughulikia majukumu ya mahali pangu patakatifu Waisraeli waliponiacha,+ watanikaribia ili kunihudumia, nao watasimama mbele zangu ili kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 16 ‘Hao ndio watakaoingia mahali pangu patakatifu, nao wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watatimiza majukumu yangu.+
-