Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 40:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 “Kisha mlete Haruni na wanawe karibu na mlango wa hema la mkutano na kuwaosha kwa maji.+

  • Kutoka 40:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Utawatia mafuta kama ulivyomtia mafuta baba yao,+ ili wanitumikie wakiwa makuhani, nao wataendelea kuwa makuhani daima katika vizazi vyao vyote kwa sababu wametiwa mafuta.”+

  • Hesabu 3:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+

  • Hesabu 18:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Ni Walawi tu watakaotumikia katika hema la mkutano, na ndio watakaowajibika kwa ajili ya makosa yao.+ Ni sheria ya kudumu katika vizazi vyenu vyote kwamba hawapaswi kuchukua urithi miongoni mwa Waisraeli.+

  • Ezekieli 44:15, 16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “‘Nao makuhani Walawi, wana wa Sadoki,+ walioshughulikia majukumu ya mahali pangu patakatifu Waisraeli waliponiacha,+ watanikaribia ili kunihudumia, nao watasimama mbele zangu ili kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. 16 ‘Hao ndio watakaoingia mahali pangu patakatifu, nao wataikaribia meza yangu ili kunihudumia,+ nao watatimiza majukumu yangu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki