6 “Walete watu wa kabila la Lawi+ mbele ya kuhani Haruni ili wamhudumie.+7 Watatimiza wajibu wao wa kumtumikia na kuwatumikia Waisraeli wote mbele ya hema la mkutano kwa kufanya kazi za hema la ibada.
18Kisha Yehova akamwambia Haruni, “Wewe na wana wako na ukoo wako* mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya mahali patakatifu,+ na wewe na wana wako mtawajibika ikiwa kosa lolote litafanywa dhidi ya ukuhani wenu.+